Michelangelo : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d r2.7.3) (Roboti: Imeongeza bxr:Микеланджело |
d Roboti: Imeongeza min:Michelangelo |
||
Mstari 127: | Mstari 127: | ||
[[mhr:Микеланджело]] |
[[mhr:Микеланджело]] |
||
[[mi:Michelangelo]] |
[[mi:Michelangelo]] |
||
[[min:Michelangelo]] |
|||
[[mk:Микеланџело Буонароти]] |
[[mk:Микеланџело Буонароти]] |
||
[[ml:മൈക്കെലാഞ്ജലോ]] |
[[ml:മൈക്കെലാഞ്ജലോ]] |
Pitio la 10:45, 8 Februari 2013
Michelangelo di Lodovico Buonarroti Simoni (6 Machi 1475 - 18 Machi 1564) alikuwa msanii nchini Italia aliye maarufu kama mchongaji, mchoraji, msanifu majengo na mshairi. Huhesabiwa kati ya wasanii muhimu zaidi wa zama ya mwamko.
Kati ya kazi zake maarufu ni sanamu ya kijana Daudi na picha za ukutani wa Kikanisa cha Sistina huko Vatikano mjini Roma alichopamba kwa hadithi na watu wa Biblia.
Kati ya kazi zake maarufu kama msanifu majengo ni hasa kuba ya Basilika la Mt. Petro kwenye Vatikano mjini Roma.
Picha
-
Yesu awekwa kaburini, mafuta juu ya ubao, 161 × 149 cm
-
Mateso ya Mt. Petro, Kanisa Paolina - Vatikano.
-
Familia Takatifu na mtoto Yesu (Iko Firenze)
-
Mtumwa anayekufa
-
Bacchus (mungu wa Kiroma)
-
Sanamu ya Musa (Vatikano)
-
Kuba ya Basilika la Mt. Petro katika Vatikano ilitungwa na Michelangelo
Makala hii kuhusu mtu huyo bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Michelangelo kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
Kigezo:Link FA Kigezo:Link FA Kigezo:Link FA Kigezo:Link FA Kigezo:Link FA Kigezo:Link FA Kigezo:Link FA Kigezo:Link FA Kigezo:Link FA Kigezo:Link FA