Pelé : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d r2.7.1) (Roboti: Imeongeza am:ፔሌ
d r2.7.3) (Roboti: Imeongeza vo:Pelé
Mstari 95: Mstari 95:
[[vi:Pelé]]
[[vi:Pelé]]
[[vls:Pelé]]
[[vls:Pelé]]
[[vo:Pelé]]
[[war:Pelé]]
[[war:Pelé]]
[[xmf:პელე]]
[[xmf:პელე]]

Pitio la 18:28, 7 Februari 2013

Pelé (amezaliwa mwaka 1940) alikuwa mchezaji wa mpira wa miguu kutoka Brazili. Anahesabiwa na wengi kuwa mchezaji mzuri zaidi wa wakati wote.

Jina lake halisi ni Edison Arantes do Nascimento. Alicheza kama mshambuliaji wa kati. Akiwa na miaka 17 tu aliisaidia Brazili kutwaa kombe la dunia 1958 na baadaye tena 1961 na baadaye mwaka 1970. Aliweka rekodi mwaka 1958 ya kuwa mchezaji mdogo kuliko wote duniani kucheza katika fainali ya kombe la dunia alipocheza akiwa na umri wa miaka 17. Alivuma sana katika miaka ya 1970 duniani kote. Alifunga mabao zaidi ya 1000 katika kipindi cha uchezaji wake kabla ya kustaafu.

WikiMedia Commons
WikiMedia Commons
Wikimedia Commons ina media kuhusu:


Makala hii kuhusu mambo ya michezo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu zaidi kuhusu Pelé kama historia yake, uenezi au kanuni zake?
Labda unaona katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine habari zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.

Kigezo:Link FA