Kikoongo : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d r2.7.2+) (Robot: Modifying da:Kikongo to da:Kikongo (sprog) |
d r2.7.3) (Boti: Inarbadilisha tr:Kongo Dili hadi tr:Kongoca |
||
Mstari 49: | Mstari 49: | ||
[[sv:Kikongo]] |
[[sv:Kikongo]] |
||
[[ta:கோங்கோ மொழி]] |
[[ta:கோங்கோ மொழி]] |
||
[[tr: |
[[tr:Kongoca]] |
||
[[uk:Конго (мова)]] |
[[uk:Конго (мова)]] |
||
[[ur:کانگو زبان]] |
[[ur:کانگو زبان]] |
Pitio la 13:24, 4 Februari 2013
Kikoongo (pia: Kikongo) ni lugha ya Kibantu hasa nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ambako inahesabiwa kati ya lugha 4 za kitaifa. Kinazungumzwa na Wakoongo. Idadi ya wasemaji wa Kikoongo kama lugha ya kwanza katika Jamhuri imehesabiwa kuwa watu milioni tatu; pamoja na hayo kuna watu milioni tano ambao huongea Kikoongo kama lugha ya pili. Tena kuna wasemaji wa Kikoongo milioni moja nchini Angola na milioni moja nchini Jamhuri ya Kongo. Kufuatana na uainishaji wa lugha za Kibantu wa Malcolm Guthrie Kikoongo kiko katika kundi la H10.
Viungo vya nje
- lugha ya Kikoongo kwenye Multitree
- ramani ya Kikoongo
- http://www.ethnologue.org/show_language.asp?code=kng
Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Kikoongo kama historia yake, uenezi au maendeleo yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |