Valletta : Tofauti kati ya masahihisho
d r2.7.3) (Robot: Modifying ar:البلدة to ar:لا فاليتا |
d r2.7.3) (Boti: Inarbadilisha tl:Valletta hadi tl:La Valeta |
||
Mstari 109: | Mstari 109: | ||
[[tg:Валлетта]] |
[[tg:Валлетта]] |
||
[[th:วัลเลตตา]] |
[[th:วัลเลตตา]] |
||
[[tl: |
[[tl:La Valeta]] |
||
[[tr:Valletta]] |
[[tr:Valletta]] |
||
[[tt:Валлетта]] |
[[tt:Валлетта]] |
Pitio la 04:34, 26 Januari 2013
Valetta (pia: La Valetta, Kilugha: il-belt "mji") ni mji mkuu wa Malta mwenye wakazi 7,100. Mji ulijengwa kama mji-boma kwenye ncha ya rasi ndogo inayozungukwa na maji ya bahari pande tatu.
Historia
Valetta limepokea jina lake kwa heshima ya Jean de la Valette aliyekuwa mkuu wa wamisalaba wa chama cha hospitali ya Mt. Yohane wa Yerusalemu. Valette aliamuru kujengwa kwa mji huu baada ya uvamizi wa Waturuki waliojaribu kuteka Malta mwaka 1565. Waturuki hawakufaulu wakafukuzwa na Valette aliona haja ya kuwa na mji imara kabisa kama wanataka kurudi. Hivyo mji mpya ulijengwa kuanzia mwaka 1566 kwenye ncha ya rasi penye bandari asilia bora.
Mnamo mwaka 1700 Valetta ilikuwa mji mwenye ukuta imara kushinda miji yote.
Mji una majengo mengi ya kihistoria ukaingizwa katika orodha ya UNESCO ya urithi wa dunia.
Idadi ya wakazi imepungua kwa sababu watu wengi walijenga mashambani.
Makala hii kuhusu maeneo ya Ulaya bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Valletta kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |