Mitara : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d r2.7.3) (Roboti: Imeongeza az:Poliqamiya
d r2.7.3rc2) (Roboti: Imeongeza ko:복혼
Mstari 66: Mstari 66:
[[ja:複婚]]
[[ja:複婚]]
[[ka:პოლიგამია]]
[[ka:პოლიგამია]]
[[ko:복혼]]
[[mk:Многуженство]]
[[mk:Многуженство]]
[[ms:Poligami]]
[[ms:Poligami]]

Pitio la 04:13, 24 Januari 2013

Kiongozi wa kabila la Toba na wake zake, 1892.

Mitara (au Upoli au Upali) ni hali ya watu zaidi ya wawili kuishi katika uhusiano wa kindoa.

Hali hiyo ilikuwa ya kawaida barani Afrika, ambapo mwanamume mmoja aliweza kuwa na wanawake zaidi ya mmoja, lakini kwa sasa inazidi kupungua.

Ya nadra zaidi ni hali ya wanaume kadhaa kuchanga mwanamke mmoja.

Baadhi ya nchi zinakubali hali hiyo, lakini nyingi zinaikataza.

Vilevile baadhi ya dini zinakubali mitara, hususan Uislamu, lakini nyingine zinaikataza, hususan Ukristo.

Katika Biblia tunakuta maendeleo ya ufunuo kuhusu hali hiyo kati ya Agano la Kale na Agano Jipya.


Marejeo

Viungo vya nje

Simple English Wiktionary
Simple English Wiktionary
Wikamusi ya Kiswahili ina maelezo na tafsiri ya maana ya neno: