Thomas Sankara : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d r2.7.2) (Roboti: Imeongeza ml:തോമസ് സനകാര
d r2.7.3) (Roboti: Imeongeza lmo:Thomas Isidore Noël Sankara
Mstari 38: Mstari 38:
[[ko:토마스 상카라]]
[[ko:토마스 상카라]]
[[la:Thomas Sankara]]
[[la:Thomas Sankara]]
[[lmo:Thomas Isidore Noël Sankara]]
[[lt:Thomas Sankara]]
[[lt:Thomas Sankara]]
[[ml:തോമസ് സനകാര]]
[[ml:തോമസ് സനകാര]]

Pitio la 19:04, 20 Januari 2013

Thomas Sankara

Noël Isidore Thomas Sankara (* 21 Desemba 1949 mjini Yako (Volta ya Juu; † 15 Oktoba 1987 mjini Ouagadougou) alikuwa mwanajeshi na mwanasiasa nchini Burkina Faso. Kuanzia 4 Agosti 1983 hadi kuuawa mwezi wa Oktoba 1987 Sankara alikuwa rais wa tano wa Volta ya Juu au Burkina Faso.

Mwanajeshi na mwanasiasa

Sankara alipanda ngazi ya kijeshi hadi cheo cha kepteni, Pamoja na mwanajeshi mwenzake Blaise Compaore alishiriki katika shirika ya siri ya "maafisa wakomunisti" waliolenga kupambana na ufisadi.

1981 alikuwa waziri wa mambo ya ndani katika serikali ya kijeshi ya rais Jean-Baptiste Ouédraogo na kupandishwa cheo kuwa waziri mkuu kwa miezi michache kuanzia Februari 1983. Mwezi wa Mei alikamtawa na kutiwa mbaroni. Mapinduzi ya kijeshi yaliyoongozwa na Blaise Compaore yalimfanya kuwa mwenyekiti wa kamati ya mapinduzi na rais wa 5 wa Volta ya Juu.

Rais

Sankara alibadilisha jina la nchi kuwa Burkina Faso. Alijulikana hasa kwa amri yake ya kuwa mawaziri na maafisa wote wa serikali yake wasitumie magari makubwa bali gari ndogo aina ya Renault 5 ilikuwa gari la bei ya chini iliyopatikana nchini.

Menginevyo alishirikisha wanawake wengi katika serikali yake akapiga marufuku tohara kwa wanawake.

Mwisho

Mwaka 1987 alipinduliwa na wanajeshi wenzake na kuuawa. Blaise Compaore akawa rais badala yake.