Bara la Antaktiki : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d r2.7.2+) (Roboti: Imeongeza my:အန္တာတိက
d r2.7.3) (Roboti: Imeongeza bxr:Антарктика
Mstari 49: Mstari 49:
[[br:Antarktika]]
[[br:Antarktika]]
[[bs:Antarktik]]
[[bs:Antarktik]]
[[bxr:Антарктика]]
[[ca:Antàrtida]]
[[ca:Antàrtida]]
[[chr:ᏧᏁᏍᏓᎸ]]
[[chr:ᏧᏁᏍᏓᎸ]]

Pitio la 09:52, 19 Januari 2013

Antaktiki
Antaktiki
Kituo cha Kisayansi katika Antaktiki

Antaktiki ni bara kwenye ncha ya kusini ya dunia. Kwa sababu ya baridi kali katika bara hii, ni bara ya pekee ambapo hawaishi binadamu wowote isipokuwa kuna wanasayansi wanaokaa kwa muda katika vituo vyao. Jina "Antaktiki" latokana na lugha ya Kigiriki likimaanisha "kinyume cha Aktiki" na Aktiki ni eneo karibu na ncha ya kaskazini.

Takriban 98% za eneo la bara lafunikwa na theluji na barafu. Bara liko kati ya bahari za Pasifiki, Atlantiki na Bahari Hindi. Eneo lake ni kubwa kushinda Ulaya lakini hakuna mti hata mmoja.

Kuna volkeno hai moja inayotema moto barani ni mlima wa Mount Erebus.


Viungo vya Nje

Makala hii kuhusu eneo fulani bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu eneo hilo kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Je, unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.


Usitaje majina ya madiwani na viongozi au maafisa wengine wa sasa maana wanabadilika haraka mno.

Kigezo:Link FA Kigezo:Link FA Kigezo:Link FA Kigezo:Link FA Kigezo:Link FA Kigezo:Link FA Kigezo:Link FA Kigezo:Link FA