North Carolina : Tofauti kati ya masahihisho
d r2.7.2+) (Robot: Modifying diq:Karolina Zımey to diq:Karolinaya Zımey |
Xqbot (majadiliano | michango) d r2.7.3) (Boti: Inarbadilisha tl:North Carolina hadi tl:Hilagang Karolina |
||
Mstari 158: | Mstari 158: | ||
[[ta:வட கரொலைனா]] |
[[ta:வட கரொலைனா]] |
||
[[th:รัฐนอร์ทแคโรไลนา]] |
[[th:รัฐนอร์ทแคโรไลนา]] |
||
[[tl: |
[[tl:Hilagang Karolina]] |
||
[[tr:Kuzey Karolina]] |
[[tr:Kuzey Karolina]] |
||
[[tt:Төньяк Каролина]] |
[[tt:Төньяк Каролина]] |
Pitio la 06:03, 18 Januari 2013
North Carolina | |||
| |||
Nchi | Marekani | ||
---|---|---|---|
Mji mkuu | Raleigh | ||
Eneo | |||
- Jumla | 139,389 km² | ||
- Kavu | 126,161 km² | ||
- Maji | 13,229 km² | ||
Tovuti: http://www.nc.gov/ |
North Carolina (Karolina ya Kaskazini) ni jimbo la kujitawala la Marekani kwenye mwambao wa Atlantiki. Mji mkuu ni Raleigh na mji mkubwa ni Charlotte.
North Carolina ilikuwa kati ya majimbo 13 yaliyoasi dhidi ya Uingereza mwaka 1776 na kuunda Maungano ya Madola ya Amerika tangu 1789.
Imepakana na South Carolina, Georgia, Tennessee, Virginia na Bahari ya Atlantiki.
Jina limetokana na koloni ya Uingereza lililotolewa jina kwa heshima ya mfalme Charles II wa Uingereza. Kwa Kilatini "Charles ni "Carolus" au Karolo).
Majimbo ya Marekani |
---|
Alabama • Alaska • Arizona • Arkansas • California • Colorado • Connecticut • Delaware • Florida • Georgia • Hawaii • Idaho • Illinois • Indiana • Iowa • Kansas • Kentucky • Louisiana • Maine • Maryland • Massachusetts • Michigan • Minnesota • Mississippi • Missouri • Montana • Nebraska • Nevada • New Hampshire • New Jersey • New Mexico • New York • North Carolina • North Dakota • Ohio • Oklahoma • Oregon • Pennsylvania • Rhode Island • South Carolina • South Dakota • Tennessee • Texas • Utah • Vermont • Virginia • Washington • West Virginia • Wisconsin • Wyoming |
Makala hii kuhusu maeneo ya Marekani bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu North Carolina kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |