Jersey : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d r2.7.3) (Roboti: Imeongeza pa:ਜਰਸੀ
d r2.7.3) (Robot: Modifying tl:Jersey to tl:Hersey
Mstari 108: Mstari 108:
[[te:జెర్సీ]]
[[te:జెర్సీ]]
[[th:เจอร์ซีย์]]
[[th:เจอร์ซีย์]]
[[tl:Jersey]]
[[tl:Hersey]]
[[tr:Jersey]]
[[tr:Jersey]]
[[tt:Җерси]]
[[tt:Җерси]]

Pitio la 02:51, 10 Januari 2013

Mahali pa Visiwa vya Mfereji wa Kiingereza
Jersey

Jersey ni kisiwa kikubwa kati ya Visiwa vya mfereji wa Kiingereza chenye wakazi 90,000. Kipo karibu na pwani la Ufaransa lakini ni eneo chini ya taji la Uingereza isipokuwa si sehemu ya Uingereza mwenyewe.

Mji wa pekee ni Saint Helier.

Lugha zinazotumiwa ni hasa Kiingereza, Kifaransa na pia Kijersey (Jèrriais) lakini lugha hii ya kienyeji imebaki na wasemaji wachache.

Viungo vya Nje

Makala hii kuhusu maeneo ya Uingereza bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Jersey kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.