Jersey : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d r2.7.3) (Roboti: Imeongeza pa:ਜਰਸੀ |
|||
Mstari 108: | Mstari 108: | ||
[[te:జెర్సీ]] |
[[te:జెర్సీ]] |
||
[[th:เจอร์ซีย์]] |
[[th:เจอร์ซีย์]] |
||
[[tl: |
[[tl:Hersey]] |
||
[[tr:Jersey]] |
[[tr:Jersey]] |
||
[[tt:Җерси]] |
[[tt:Җерси]] |
Pitio la 02:51, 10 Januari 2013
Jersey ni kisiwa kikubwa kati ya Visiwa vya mfereji wa Kiingereza chenye wakazi 90,000. Kipo karibu na pwani la Ufaransa lakini ni eneo chini ya taji la Uingereza isipokuwa si sehemu ya Uingereza mwenyewe.
Mji wa pekee ni Saint Helier.
Lugha zinazotumiwa ni hasa Kiingereza, Kifaransa na pia Kijersey (Jèrriais) lakini lugha hii ya kienyeji imebaki na wasemaji wachache.
Viungo vya Nje
- About Jersey (Visitors' guide)
- Les Pâraîsses d'Jèrri en Jèrriais (map of parishes, coat-of-arms, and history)
- States of Jersey
- BBC Jersey
- Jersey History
- This is Jersey (Local Portal)
- Jersey Insight (Local Portal)
- Map of Jersey
Makala hii kuhusu maeneo ya Uingereza bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Jersey kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |