Port Louis : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d r2.7.3rc2) (Roboti: Imeongeza is:Port Lois
d r2.7.3) (Roboti: Imeongeza or:ପୋର୍ଟ ଲୁଇସ
Mstari 86: Mstari 86:
[[nov:Port Louis]]
[[nov:Port Louis]]
[[oc:Port Louis]]
[[oc:Port Louis]]
[[or:ପୋର୍ଟ ଲୁଇସ]]
[[os:Порт-Луи]]
[[os:Порт-Луи]]
[[pl:Port Louis]]
[[pl:Port Louis]]

Pitio la 14:16, 8 Januari 2013


Jiji la Port Louis
Nchi Morisi
Port Louis: Barabara kuu ikielekea ikulu (nyuma)

Port Louis ni mji mkuu wa jamhuri ya Morisi. Ikiwa na wakazi 170,000 ni mji mkubwa wa taifa hili la visiwani katika Bahari Hindi.

Makumbusho ya Port Louis
Mahali pa wilaya ya Port-Louis katika Morisi

Kiwanja cha kimataifa cha ndege cha Sir Seewoosagur Ramgoolam kipo 30 km kusini ya mji. Kutoka Port Louis kuna feri kwenda Saint Denis mji mkuu wa Réunion.

Kuna viwanda vya nguo na vitambaa pia vya kemikali na madawa. Benki ziko nyingi. Kwa jumla Port Louis ni mji wa Afrika ambako wenyeji wana hali ya maisha iliyo juu kushinda miji mingine ya Afrika.