Georgia : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d r2.7.3) (Robot: Modifying pam:Georgia (country) to pam:Georgya
d r2.7.3) (Roboti: Imeongeza dz:ཇཽ་ཇཱ
Mstari 128: Mstari 128:
[[dsb:Georgiska]]
[[dsb:Georgiska]]
[[dv:ޖޯޖިޔާ (ޤައުމު)]]
[[dv:ޖޯޖިޔާ (ޤައުމު)]]
[[dz:ཇཽ་ཇཱ]]
[[ee:Georgia]]
[[ee:Georgia]]
[[el:Γεωργία]]
[[el:Γεωργία]]

Pitio la 09:06, 8 Januari 2013

Georgia
Ramani ya Georgia

Georgia (Kigeorgia: საქართველო "Sakartvelo") ni nchi ya Kaukazi kati ya Ulaya na Asia kwenye mwambao wa Bahari Nyeusi. Imepakana na Urusi, Uturuki, Armenia na Azerbaijan. Georgia ilikuwa sehemu ya Umoja wa Kisovyeti lakini imekuwa nchi huru ya kujitegemea tangu 1991. Mji mkuu ni Tbilisi.

Jiografia

Georgia ni hasa nchi ya milima ya Kaukazi inayofikia kimo cha 5,068 m. Kati ya safu mbili za milima kuna tambarare ya Kolkhis. Upande wa magharibi unaathiriwa na Bahari Nyeusi una hali ya hewa poa na mvua nyingi inayofaa kwa kilimo na hasa mizabibu.

Maeneo ya Abkhazia na Ossetia ya Kusini yamedai uhuru na kwa sasa hayapo chini ya serikali kuu.

Utamaduni

Georgia ina wakazi milioni 4.5. Zaidi ya milioni 1 hukaa Tbilisi. Wakazi walio wengi husema Kigeorgia lakini kuna vikundi vya wasemaji wa Kirusi, Kiarmenia, Kiazeri na wengine.

Wageorgia wengi ni Wakristo wanaofuata Kanisa la Orthodoksi la Georgia. Kuna pia Waislamu (9%) na Wayahudi.

Mgeorgia anayejulikana zaidi duniani alikuwa Josef Stalin.

Marejeo chini ya ukurasa

Viungo vya Nje

Nchi na maeneo ya Asia

Afghanistan | Armenia2 | Azerbaijan | Bahrain | Bangladesh | Bhutan | Brunei | China | Falme za Kiarabu | Georgia2 | Hong Kong3 | Indonesia | Iraq | Israel | Jamhuri ya China (Taiwan) | Japani | Kamboja | Kazakhstan | Kirgizia | Korea Kaskazini | Korea Kusini | Kupro2 | Kuwait | Laos | Lebanoni | Macau3 | Malaysia | Maldivi | Mongolia | Myanmar | Nepal | Omani | Pakistan | Palestina | Qatar | Saudia | Singapuri | Sri Lanka | Syria | Tajikistan | Timor ya Mashariki | Turkmenistan | Uajemi | Ufilipino | Uhindi | Urusi1 | Uthai | Uturuki1 | Uzbekistan | Vietnam | Yemen | Yordani

1. Nchi ina maeneo katika Asia na Ulaya. 2. Nchi iko Asia lakini inahesabiwa pia kati ya nchi za Ulaya kwa sababu za historia au utamaduni. 3. Eneo la pekee la China.


WikiMedia Commons
WikiMedia Commons
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii kuhusu maeneo ya Ulaya bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Georgia kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Makala hii kuhusu maeneo ya Asia bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Georgia kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.

Kigezo:Link FA Kigezo:Link FA Kigezo:Link FA