Bendera ya Jamhuri ya Afrika ya Kati : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d r2.7.2) (Roboti: Imeongeza az:MAR bayrağı
Mstari 16: Mstari 16:
[[ar:علم جمهورية أفريقيا الوسطى]]
[[ar:علم جمهورية أفريقيا الوسطى]]
[[ast:Bandera de la República Centroafricana]]
[[ast:Bandera de la República Centroafricana]]
[[az:MAR bayrağı]]
[[az:Mərkəzi Afrika Respublikası bayrağı]]
[[be:Сцяг Цэнтральна-Афрыканскай Рэспублікі]]
[[be:Сцяг Цэнтральна-Афрыканскай Рэспублікі]]
[[bg:Национално знаме на Централноафриканската република]]
[[bg:Национално знаме на Централноафриканската република]]

Pitio la 06:37, 22 Desemba 2012

Bendera ya Jamhuri ya Afrika ya Kati

Bendera ya Jamhuri ya Afrika ya Kati ina milia minne ya kulala ya rangi buluu - nyeupe - kijani - njano inayokatwa na mlia mmoja mwekundu wa kusimama. Ndani ya mlia wa juu kuna nyota ya pembetano njano.

Bendera hii imetungwa na Barthélemy Boganda aliyekuwa rais wa kwanza wa eneo la kujitawala wa Ubangui-Shari wakati wa mwisho wa ukoloni wa Ufaransa. Boganda aliamini ya kwamba "Afrika na Ufaransa wanapaswa kwenda sambamba". Hivyo aliunganisha rangi za bendera ya Ufaransa (nyekundu-nyeupe-buluu) na rangi za Umoja wa Afrika (nyekundu - kijani - njano).

Nyota ni alama ya uhuru.