César Cui : Tofauti kati ya masahihisho
d r2.7.3) (Roboti: Imeongeza lv:Cezars Kiī |
|||
Mstari 49: | Mstari 49: | ||
[[it:Cezar' Antonovič Kjui]] |
[[it:Cezar' Antonovič Kjui]] |
||
[[ja:ツェーザリ・キュイ]] |
[[ja:ツェーザリ・キュイ]] |
||
[[ko: |
[[ko:체자르 큐이]] |
||
[[lv:Cezars Kiī]] |
[[lv:Cezars Kiī]] |
||
[[nl:César Cui]] |
[[nl:César Cui]] |
Pitio la 20:56, 12 Desemba 2012
César Cui (18 Januari 1835 - 26 Machi 1918) alikuwa mtunzi maarufu wa Opera kutoka nchini Urusi. Nae ni mmoja kati ya watunzi watano mashuhuri wa Urusi, ambao walipewa jina la utani la “Moguchaya Kuchka” (kwa Kisw. “Watu wenye Uwezo”), watu hao walikuwa Mily Balakirev, Nikolai Rimsky-Korsakov, Modest Mussorgsky na Alexander Borodin. Baba wa Cui’s anatokea nchini Ufaransa na mama yake anatokea Lithuania.
Kama ilivyokuwa watunzi wengine wa Kirusi wa karne ya 19, nae huyu alikuwa akifanya shughuli hizi kwa upenzi tu na sio kimapato. Kazi yake rasmi ilikuwa kama fundi katika ngome ya jeshi. Pia alikuwa profesa katika masuala ya kiisimu na alitunga vitabu kadhaa vinavyo husu maswala ya ulinzi katika jeshi. Vilevile aka jenerali katika jeshi.
Viungo vya nje