Colima (jimbo) : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
JYBot (majadiliano | michango) d r2.7.1) (Robot: Modifying ka:კოლიმა (შტატი) to ka:კოლიმის შტატი |
d r2.6.2) (Robot: Modifying sr:Држава Колима to sr:Колима (држава) |
||
Mstari 75: | Mstari 75: | ||
[[sh:Colima]] |
[[sh:Colima]] |
||
[[simple:Colima]] |
[[simple:Colima]] |
||
[[sr: |
[[sr:Колима (држава)]] |
||
[[sv:Colima (delstat)]] |
[[sv:Colima (delstat)]] |
||
[[tg:Иёлати Колима]] |
[[tg:Иёлати Колима]] |
Pitio la 00:36, 12 Desemba 2012
Colima ni moja kati ya majimbo 31 ya Mexico upande wa magharibi ya nchi. Ina pwani na Pasifiki. Ni jimbo dogo, imepakana na Jalisco na Michoacán.
Mji mkuu ni Colima na mji mkubwa ni Manzanillo. Jimbo lina wakazi wapatao 567,996 (2005) wanaokalia katika eneo la kilomita za mraba zipatazo 5,191.
Gavana wa jimbo ni Jesus Silverio Cavazos Ceballos
Lugha rasmi ni Kihispania
Miji Mikubwa
- Manzanillo (137,842)
- Colima (132,273)
- Tecomán (76,166)
Viungo vya Nje
- (Kihispania) Estado de Colima Sitio oficial
Makala hii kuhusu maeneo ya Mexiko bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Colima (jimbo) kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |