Falme za Kiarabu : Tofauti kati ya masahihisho
d Roboti: Imeondoa: diq:Yewina Emiranê Erebi (deleted) |
d r2.6.8) (Roboti: Imebadilisha: bxr:Арабын Нэгэдэһэн Эмир Улас, tl:United Arab Emirates |
||
Mstari 131: | Mstari 131: | ||
[[bs:Ujedinjeni Arapski Emirati]] |
[[bs:Ujedinjeni Arapski Emirati]] |
||
[[bug:Emiriyah Arab Bersatu]] |
[[bug:Emiriyah Arab Bersatu]] |
||
[[bxr:Арабын |
[[bxr:Арабын Нэгэдэһэн Эмир Улас]] |
||
[[ca:Emirats Àrabs Units]] |
[[ca:Emirats Àrabs Units]] |
||
[[ce:Хlоьттина йолу lарбойн Эмираташ]] |
[[ce:Хlоьттина йолу lарбойн Эмираташ]] |
||
Mstari 255: | Mstari 255: | ||
[[th:สหรัฐอาหรับเอมิเรตส์]] |
[[th:สหรัฐอาหรับเอมิเรตส์]] |
||
[[tk:Birleşen Arap Emirlikleri]] |
[[tk:Birleşen Arap Emirlikleri]] |
||
[[tl: |
[[tl:United Arab Emirates]] |
||
[[tr:Birleşik Arap Emirlikleri]] |
[[tr:Birleşik Arap Emirlikleri]] |
||
[[tt:Берләшкән Гарәп Әмирлекләре]] |
[[tt:Берләшкән Гарәп Әмирлекләре]] |
Pitio la 03:48, 9 Desemba 2012
Falme za Kiarabu |
---|
Falme za Kiarabu (Ar.:الإمارات العربيّة المتّحدة; Ing. United Arab Emirates) ni shirikisho la emirati au falme ndogo 7 katika kaskazini-mashariki ya Rasi ya Uarabuni kwenye mwambao wa ghuba ya Uajemi.
Shirikisho limepakana na Saudia na Omani kwenye nchi kavu; baharini kuna mipaka pia na Katar.
Mji mkuu ni Abu Dhabi na mji mkubwa ni Dubai.
Historia
Falme hizo zilikuwa nchi lindwa chini ya Uingereza hadi 1971.
Wakazi
Asilimia 80 za wakazi ni wageni, kumbe wenyeji ni sehemu ndogo tu. Zaidi ya nusu ya wageni wanatoka katika nchi za Bara Hindi.
Uchumi
Falme za Kiarabu zimekuwa nchi tajiri kutokana na akiba kubwa za mafuta ya petroli. Utajiri huu unapatikana kwa viwango tofautitofauti kati ya emirati zinazozunda shirikisho hili. Abu Dhabi ni emirati mwanachama kubwa ina pia kiasi kikubwa cha petroli na mapato makubwa kutokana na mauzo ya mafuta. Emirati za Dubai na Sharjah zinazalisha pia petroli. Emirati nyingine zinategemea msaada unaotolewa na Abu Dhabi hasa kutokana na mapato yake na pesa hizi zinasaidia ujenzi wa barabara na miundombinu kwa jumla.
Kazi nyingi za ofisini, viwandani, katika biashara na huduma zinatekelezwa na wageni ilhali wenyeji wanashika nafasi ya juu pekee; wengine wasio na vipaji vya kuongoza wanategemea malipo kutoka serikali.
Sheria ya nchi inasema ya kwamba makampuni yote nchini yanapaswa kuwa mkononi mwa raia wazalendo. Hali halisi inamaanisha ya kwamba wageni wanaunda kampuni wakimtafuta mwenyeji anayekubali sehemu ya mali na malipo ya kila mwaka bila kufanya kazi; lakini bila mwenyeji katika uongozi kampuni hairuhusiwi kuendesha shughuli zake kama ni kiwanda, duka au hoteli.
Makampuni kutoka nje yanaweza kupata leseni ya biashara kwa muda katika kanda za pekee bila kumshirikisha mwenyeji.
Falme za shirikisho hili ni:
Jina | Eneo (km²) | Wakazi mwisho wa 2006 |
---|---|---|
Abu Dhabi | 67.340 | 2.563.212 |
Umm al-Quwain | 777 | 68.000 |
Fujairah | 1.165 | 130.000 |
Ras al-Khaimah | 1.684 | 214.000 |
Sharjah | 2.590 | 699.000 |
Dubai | 3.885 | 1.327.000 |
Ajmān | 259 | 258.000 |
Viungo vya nje
- (Kiarabu) (Kiingereza) Tovuti ya serikali
- (Kiingereza) UAEInteract.com
Makala hii kuhusu maeneo ya Asia bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Falme za Kiarabu kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
Nchi na maeneo ya Asia |
Afghanistan | Armenia2 | Azerbaijan | Bahrain | Bangladesh | Bhutan | Brunei | China | Falme za Kiarabu | Georgia2 | Hong Kong3 | Indonesia | Iraq | Israel | Jamhuri ya China (Taiwan) | Japani | Kamboja | Kazakhstan | Kirgizia | Korea Kaskazini | Korea Kusini | Kupro2 | Kuwait | Laos | Lebanoni | Macau3 | Malaysia | Maldivi | Mongolia | Myanmar | Nepal | Omani | Pakistan | Palestina | Qatar | Saudia | Singapuri | Sri Lanka | Syria | Tajikistan | Timor ya Mashariki | Turkmenistan | Uajemi | Ufilipino | Uhindi | Urusi1 | Uthai | Uturuki1 | Uzbekistan | Vietnam | Yemen | Yordani |
1. Nchi ina maeneo katika Asia na Ulaya. 2. Nchi iko Asia lakini inahesabiwa pia kati ya nchi za Ulaya kwa sababu za historia au utamaduni. 3. Eneo la pekee la China. |