Vipimo sanifu vya kimataifa : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d r2.7.3) (Robot: Modifying uz:SI to uz:Xalqaro birliklar tizimi
d r2.7.2+) (Roboti: Imeongeza ky:СИ өлчөө системи
Mstari 66: Mstari 66:
[[ksh:SI-Basiseinheite]]
[[ksh:SI-Basiseinheite]]
[[ku:Sîstema Navneteweyî ya Yekeyan]]
[[ku:Sîstema Navneteweyî ya Yekeyan]]
[[ky:СИ өлчөө системи]]
[[la:Systema Internationale]]
[[la:Systema Internationale]]
[[lb:Internationalt Eenheetesystem]]
[[lb:Internationalt Eenheetesystem]]

Pitio la 02:58, 9 Desemba 2012

Vipimo sanifu vya kimataifa (Kifar.: Système International d'unités; kifupi chake: SI) ni utaratibu uliokubaliwa kimataifa kwa kuwa na vizio vya upimaji vya pamoja duniani. Maendeleo na matumizi ya utaratibu huo huangaliwa na Ofisi ya Kimataifa ya Vipimo.

Msingi wa utaratibu huu ni mita. Vizio vingine ni vya urefu (mita), masi (kilogramu), wakati (sekondi), mkondo wa umeme (ampea), halijoto (kelvini), kiasi cha dutu (moli), mwangaza au ukalifu nunurikaji (kandela).

Vipimo hivi hutumika na wanasayansi duniani. Katika maisha ya kawaida kuna vipimo mbalimbali vinavyoweza kuwa tofauti kati ya nchi na nchi.

Kigezo:Link FA Kigezo:Link FA Kigezo:Link FA