UNESCO : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d r2.6.8) (Roboti: Imebadilisha: zh:联合国教科文组织
d r2.6.8) (Roboti: Imeongeza or:ୟୁନେସ୍କୋ
Mstari 100: Mstari 100:
[[no:UNESCO]]
[[no:UNESCO]]
[[oc:UNESCO]]
[[oc:UNESCO]]
[[or:ୟୁନେସ୍କୋ]]
[[pap:UNESCO]]
[[pap:UNESCO]]
[[pl:UNESCO]]
[[pl:UNESCO]]

Pitio la 00:37, 9 Desemba 2012

Bendera ya UNESCO

UNESCO ni kifupisho cha United Nations Educational, Scientific and Cultural Organization yaani Shirika la Elimu, Sayansi na Utamaduni la Umoja wa Mataifa.

Ni kitengo cha Umoja wa Mataifa ambacho kinashughulika habari za elimu, sayansi na utamaduni duniani.

Kisheria UNESCO ni shirika la kujitegemea lenye madola wanachama 191.

Kati ya shughuli muhimu za UNESCO mojawapo ni Orodha la Urithi wa Dunia linalojumlisha mahali penye umuhimu wa pekee kihistoria, kisayansi au kiutamaduni.

Nchi zote zina mahali angalau moja orodhani, nyingine zina pengi, hasa Italia na Hispania.

Viungo vya nje