Ufufuko wa Yesu : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d r2.6.8) (Roboti: Imeongeza simple:Resurrection of Jesus
d r2.6.8) (Roboti: Imeongeza eo:Resurekto de Jesuo
Mstari 57: Mstari 57:
[[el:Ανάσταση του Χριστού]]
[[el:Ανάσταση του Χριστού]]
[[en:Resurrection of Jesus]]
[[en:Resurrection of Jesus]]
[[eo:Resurekto de Jesuo]]
[[es:Resurrección de Jesús]]
[[es:Resurrección de Jesús]]
[[fi:Jeesuksen ylösnousemus]]
[[fi:Jeesuksen ylösnousemus]]

Pitio la 06:20, 8 Desemba 2012

Mfululizo wa kurasa juu ya Yesu
Jesus
Yesu Kristo na Ukristo

Umwilisho  • Utoto wa Yesu  • Ubatizo
Arusi ya Kana • Utume wa Yesu • Mifano ya Yesu  • Miujiza ya Yesu
Kugeuka sura • Karamu ya mwisho • Msalaba wa Yesu  • Maneno saba
Kifo cha Yesu  • Ufufuko wa Yesu
Kupaa mbinguni  • Ujio wa pili
Injili  • Majina ya Yesu katika Agano Jipya  • Yesu kadiri ya historia  • Tarehe za maisha ya Yesu • Kristolojia

Mazingira ya Yesu

Wayahudi • Kiaramu • Bikira Maria • Yosefu (mume wa Maria) • Familia takatifu • Ukoo wa Yesu • Ndugu wa Yesu • Yohane Mbatizaji

Mitazamo juu ya Yesu

Mitazamo katika Agano Jipya · Mitazamo ya Kikristo • Mitazamo ya Kiyahudi • Mitazamo ya Kiislamu • Yesu katika sanaa

Mchoro wa Piero della Francesca Ufufuko huko Sansepolcro (Italia).

Ufufuko wa Yesu ndio tukio kuu lililotangazwa na Kanisa daima kuhusu mwanzilishi wake, kuanzia ushuhuda wa Mitume wa Yesu na maandiko ya Agano Jipya, hususan Injili.

Kadiri ya imani hiyo, siku ya tatu baada ya kuuawa msalabani, Yesu alifufuka mtukufu akiacha kaburi lake na vitambaa vyote vilivyotumika kumzikia.

Tangu Jumapili hiyo na kwa muda wa siku arubaini, yeye aliendelea kuwatokea mara kadhaa wanafunzi wake, hadi alipoonekana nao akipaa mbinguni.

Tukio hilo linaadhimishwa kila mwaka kwenye Pasaka na kila wiki kwenye Dominika.

Mahali na tarehe

Sehemu ya kikanisa kilichomo ndani ya Kanisa la Kaburi na Ufufuo wa Yesu mjini Yerusalemu, ambalo kadiri ya mapokeo ya Ukristo limejengwa palipokuwa na pango alimozikwa Yesu Kristo. Upande wa kulia panaonekana mahali alipolazwa.

Kadiri ya Injili, kaburi la Yesu lilikuwa karibu na Golgota-Kalivari, nje kidogo ya ngome ya Yerusalemu.

Injili hazitaji tarehe wala mwaka wa tukio hilo. Wataalamu wengi, kwa kulinganisha habari zake na za vyanzo vingine vya historia na vya dini ya Uyahudi, wanakadiria siku hiyo kuwa tarehe 9 Aprili mwaka 30.

Marejeo

Kigezo:Link FA