North Carolina : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d r2.7.2) (Roboti: Imeongeza ay:North Carolina suyu
d r2.7.2+) (Robot: Modifying diq:Karolina Zımey to diq:Karolinaya Zımey
Mstari 68: Mstari 68:
[[da:North Carolina]]
[[da:North Carolina]]
[[de:North Carolina]]
[[de:North Carolina]]
[[diq:Karolina Zımey]]
[[diq:Karolinaya Zımey]]
[[el:Βόρεια Καρολίνα]]
[[el:Βόρεια Καρολίνα]]
[[en:North Carolina]]
[[en:North Carolina]]

Pitio la 00:38, 2 Desemba 2012








North Carolina

Bendera

Nembo
Nchi Bendera ya Marekani Marekani
Mji mkuu Raleigh
Eneo
 - Jumla 139,389 km²
 - Kavu 126,161 km² 
 - Maji 13,229 km² 
Tovuti:  http://www.nc.gov/

North Carolina (Karolina ya Kaskazini) ni jimbo la kujitawala la Marekani kwenye mwambao wa Atlantiki. Mji mkuu ni Raleigh na mji mkubwa ni Charlotte.

North Carolina ilikuwa kati ya majimbo 13 yaliyoasi dhidi ya Uingereza mwaka 1776 na kuunda Maungano ya Madola ya Amerika tangu 1789.

Imepakana na South Carolina, Georgia, Tennessee, Virginia na Bahari ya Atlantiki.

Jina limetokana na koloni ya Uingereza lililotolewa jina kwa heshima ya mfalme Charles II wa Uingereza. Kwa Kilatini "Charles ni "Carolus" au Karolo).

Wikimedia Commons ina media kuhusu:


Majimbo ya Marekani

AlabamaAlaskaArizonaArkansasCaliforniaColoradoConnecticutDelawareFloridaGeorgiaHawaiiIdahoIllinoisIndianaIowaKansasKentuckyLouisianaMaineMarylandMassachusettsMichiganMinnesotaMississippiMissouriMontanaNebraskaNevadaNew HampshireNew JerseyNew MexicoNew YorkNorth CarolinaNorth DakotaOhioOklahomaOregonPennsylvaniaRhode IslandSouth CarolinaSouth DakotaTennesseeTexasUtahVermontVirginiaWashingtonWest VirginiaWisconsinWyoming

Makala hii kuhusu maeneo ya Marekani bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu North Carolina kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.

Kigezo:Link FA