César Cui : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d r2.7.1) (roboti Nyongeza: eu:César Cui
d r2.7.3) (Roboti: Imeongeza lv:Cezars Kiī
Mstari 50: Mstari 50:
[[ja:ツェーザリ・キュイ]]
[[ja:ツェーザリ・キュイ]]
[[ko:세자르 퀴]]
[[ko:세자르 퀴]]
[[lv:Cezars Kiī]]
[[nl:César Cui]]
[[nl:César Cui]]
[[nn:César Cui]]
[[nn:César Cui]]

Pitio la 14:53, 1 Desemba 2012

César Cui.

César Cui (18 Januari 1835 - 26 Machi 1918) alikuwa mtunzi maarufu wa Opera kutoka nchini Urusi. Nae ni mmoja kati ya watunzi watano mashuhuri wa Urusi, ambao walipewa jina la utani la “Moguchaya Kuchka” (kwa Kisw. “Watu wenye Uwezo”), watu hao walikuwa Mily Balakirev, Nikolai Rimsky-Korsakov, Modest Mussorgsky na Alexander Borodin. Baba wa Cui’s anatokea nchini Ufaransa na mama yake anatokea Lithuania.

Kama ilivyokuwa watunzi wengine wa Kirusi wa karne ya 19, nae huyu alikuwa akifanya shughuli hizi kwa upenzi tu na sio kimapato. Kazi yake rasmi ilikuwa kama fundi katika ngome ya jeshi. Pia alikuwa profesa katika masuala ya kiisimu na alitunga vitabu kadhaa vinavyo husu maswala ya ulinzi katika jeshi. Vilevile aka jenerali katika jeshi.

Viungo vya nje

WikiMedia Commons
WikiMedia Commons
Wikimedia Commons ina media kuhusu:



Orodha ya Wanamuziki wa kipindi cha Romatiki
Alkan Balakirev Beethoven Bellini Berlioz Berwald Bizet Borodin Brahms Bruckner Chopin Cui Dvořák Elgar Field Franck Glinka Grieg Liszt Mahler Mendelssohn Mussorgsky Rachmaninoff Rimsky-Korsakov Saint-Saëns Schubert Schumann Smetana Strauss Tchaikovsky Verdi Wagner Wolf Weber