Antili Ndogo : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d r2.7.1) (Roboti: Imeongeza eu:Antilla Txikiak
Mstari 61: Mstari 61:
[[es:Antillas Menores]]
[[es:Antillas Menores]]
[[et:Väikesed Antillid]]
[[et:Väikesed Antillid]]
[[eu:Antilla Txikiak]]
[[fa:آنتیل کوچک]]
[[fa:آنتیل کوچک]]
[[fi:Pienet Antillit]]
[[fi:Pienet Antillit]]

Pitio la 09:37, 29 Novemba 2012

Antili Ndogo ni sehemu ya kusini ya pinde la visiwa vya Karibi

Antili Ndogo ni kikundi cha visiwa vidogo katika Atlantiki mbele ya pwani la Amerika ya Kati. Ni sehemu ya kusini Visiwa vya Karibi. Antili ndogo ina umbo la pinde kati ya pwani la Venezuela na kisiwa kikubwa cha Puerto Rico.

Jiolojia

Pinde hufuata mstari wa mpaka wa bamba la Karibi. Visiwa vyote ni ya asili ya kivolkeno. Volkeno hai na mitetemeko ya ardhi ni kawaida.

Orodha ya visiwa

Visiwa karibu na pwani la Venezuela:

Makala hii kuhusu maeneo ya Bahari ya Karibi bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Antili Ndogo kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.