Pavel Cherenkov : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d r2.7.3rc2) (Roboti: Imeongeza tr:Pavel A. Cherenkov
d r2.7.1) (Roboti: Imebadilisha: el:Πάβελ Τσερενκόφ
Mstari 17: Mstari 17:
[[cs:Pavel Alexejevič Čerenkov]]
[[cs:Pavel Alexejevič Čerenkov]]
[[de:Pawel Alexejewitsch Tscherenkow]]
[[de:Pawel Alexejewitsch Tscherenkow]]
[[el:Πάβελ Τσερένκοφ]]
[[el:Πάβελ Τσερενκόφ]]
[[en:Pavel Cherenkov]]
[[en:Pavel Cherenkov]]
[[eo:Pavel Ĉerenkov]]
[[eo:Pavel Ĉerenkov]]

Pitio la 22:24, 22 Novemba 2012

Pavel Cherenkov

Pavel Alekseyevich Cherenkov (28 Julai, 19046 Januari, 1990) alikuwa mwanafizikia kutoka nchi ya Urusi. Aligundua mnururisho wa Cherenkov unaotokea elektroni ikitembea kwa mwendo mkali zaidi kuliko mwendo wa nuru. Mwaka wa 1958, pamoja na Igor Tamm na Ilya Frank alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia.


Makala hii kuhusu mwanasayansi fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Pavel Cherenkov kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.