Kiunguja : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika 'kiugunja ni lahaja izungumzwayo kisiwani ugunja zanzibar na ndio lahaja ya pekee ambayo ni msingi wa kiswahili cha sasa.'
 
No edit summary
Mstari 1: Mstari 1:
'''Kiunguja''' ("lugha ya Unguja") ni [[Lahaja za Kiswahili|lahaja ya Kiswahili]] iliyo lugha ya kawaida kwenye kisiwa cha [[Unguja]], [[Tanzania]]. Lahaja hii ilitumiwa wakati wa ukoloni na [[Inter-territorial Language (Swahili) committee|Kamati ya kimaeneo ya lugha ya Kiswahili]] kama msingi wa kuunda Kiswahili Sanifu katika Afrika ya Mashariki. <ref>[http://www.britannica.com/EBchecked/topic/319730/Kiunguja Kiunguja]</ref>
kiugunja ni lahaja izungumzwayo kisiwani ugunja zanzibar na ndio lahaja ya pekee ambayo ni msingi wa kiswahili cha sasa.

==Marejeo==
{{Reflist}}

[[Category:Kiswahili]]

[[en:Kiunguja]]

Pitio la 14:23, 21 Novemba 2012

Kiunguja ("lugha ya Unguja") ni lahaja ya Kiswahili iliyo lugha ya kawaida kwenye kisiwa cha Unguja, Tanzania. Lahaja hii ilitumiwa wakati wa ukoloni na Kamati ya kimaeneo ya lugha ya Kiswahili kama msingi wa kuunda Kiswahili Sanifu katika Afrika ya Mashariki. [1]

Marejeo