Kusini : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d Roboti: Imeongeza pa:ਦੱਖਣ
d r2.7.3) (Roboti: Imeongeza lb:Süden; cosmetic changes
Mstari 1: Mstari 1:
[[File:CompassRose16_S.png|thumb|250px|right|Alama za dira zikionyesha kusini katika hali ya mkoozo]]
[[Picha:CompassRose16_S.png|thumb|250px|right|Alama za dira zikionyesha kusini katika hali ya mkoozo]]
'''Kusini''' ni moja kati ya mielekeo minne mikuu ya [[dira]]. Mwelekeo wake ni [[ncha ya kusini]] ya [[dunia]]. Kinyume chake ni kaskazini.
'''Kusini''' ni moja kati ya mielekeo minne mikuu ya [[dira]]. Mwelekeo wake ni [[ncha ya kusini]] ya [[dunia]]. Kinyume chake ni kaskazini.


Mstari 11: Mstari 11:
* [[Magharibi]]
* [[Magharibi]]


==Marejeo==
== Marejeo ==
<references/>
<references/>


Mstari 71: Mstari 71:
[[ky:Түштүк]]
[[ky:Түштүк]]
[[la:Meridies]]
[[la:Meridies]]
[[lb:Süden]]
[[lmo:Sud]]
[[lmo:Sud]]
[[ln:Súdi]]
[[ln:Súdi]]

Pitio la 23:58, 18 Novemba 2012

Alama za dira zikionyesha kusini katika hali ya mkoozo

Kusini ni moja kati ya mielekeo minne mikuu ya dira. Mwelekeo wake ni ncha ya kusini ya dunia. Kinyume chake ni kaskazini.

Jina "kusini" laaminiwa limetokana na neno lenye asili ya Misri ya Kale kwa ajili ya nchi ya Kushi iliyokuwepo upande wa kusini wa Misri katika Nubia (au Sudani ya leo) pamoja na Uarabuni ya Kusini. Jina la Kushi lapatikana pia katika masimulizi ya Biblia likimtaja mmoja wa wana wa Hamu katika kitabu cha Mwanzo 10:16 kama baba wa watu wa Kushi. Hili neno lilitumiwa na mabaharia Waarabu pia kutaja mwelekeo wa kusini na kwa umbo la "kusi" hasa upepo wa kusini. [1]

Ukitazama jua linapochomoza kusini huwa ni upande wa kulia. Kusini kawaida huwa chini zaidi kwenye ramani. Marekani ipo kusini mwa nchi ya Kanada, Tanzania ipo kusini mwa nchi ya Kenya, na Msumbiji ipo kusini mwa nchi ya Tanzania. Ncha ya kusini ni kusini ya mbali unayoweza kwenda.

Tazama pia

Marejeo

  1. linganisha maelezo katika makala "kusini" katika kamusi ya M-J SSE
Makala hii kuhusu eneo fulani bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu eneo hilo kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Je, unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.


Usitaje majina ya madiwani na viongozi au maafisa wengine wa sasa maana wanabadilika haraka mno.