George Santayana : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d r2.7.3) (Roboti: Imeongeza ar:جورج سانتايانا
d r2.7.1) (Roboti: Imeongeza uk:Джордж Сантаяна
Mstari 39: Mstari 39:
[[sl:George Santayana]]
[[sl:George Santayana]]
[[sv:George Santayana]]
[[sv:George Santayana]]
[[uk:Джордж Сантаяна]]
[[yo:George Santayana]]
[[yo:George Santayana]]
[[zh:乔治·桑塔亚那]]
[[zh:乔治·桑塔亚那]]

Pitio la 21:08, 15 Novemba 2012

George Santayana

George Santayana (16 Desemba, 186326 Septemba, 1952) alikuwa mwanafalsafa na mwandishi. Akiwa raia wa Hispania alilelewa na kusoma Marekani, kwa hiyo aliandika kwa lugha ya Kiingereza tu na kuangaliwa kama mwandishi Mmarekani. Anajulikana hasa kwa usemi wake "Wasiojifunza kutoka historia watairudia" (kwa Kiingereza: "Those who cannot learn from history are doomed to repeat it").

Makala hii kuhusu mwandishi fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu George Santayana kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.