Vienna : Tofauti kati ya masahihisho
d Roboti: Imeongeza ps:وين |
Xqbot (majadiliano | michango) |
||
Mstari 246: | Mstari 246: | ||
[[wuu:维恩纳]] |
[[wuu:维恩纳]] |
||
[[yi:וויען]] |
[[yi:וויען]] |
||
[[yo: |
[[yo:Fienna]] |
||
[[zh:維也納]] |
[[zh:維也納]] |
||
[[zh-min-nan:Wien]] |
[[zh-min-nan:Wien]] |
Pitio la 15:26, 10 Novemba 2012
Vienna | |||
| |||
Mahali pa mji wa Vienna katika Austria |
|||
Majiranukta: 48°12′N 16°22′E / 48.200°N 16.367°E | |||
Nchi | Austria | ||
---|---|---|---|
Jimbo | Vienna | ||
Idadi ya wakazi | |||
- Wakazi kwa ujumla | 1,680,000 | ||
Tovuti: www.wien.gv.at |
Vienna (Kijer.: Wien) ni mji mkuu pia mji mkubwa wa Austria. Iko katika mashariki ya Austria kando la mto Danubi. Idadi ya wakazi imezidi milioni moja na lakhi sita. Vienna ina cheo cha jimbo ndani ya shirikisho la jamhuri ya Austria.
Utawala
Vienna imegawiwa katika mitaa 23.
Utamaduni
Kwa karne nyingi Vienna ilikuwa mji mkuu wa dola kubwa. Wafalme na makaisari wa familia ya Habsburg walitawala Dola Takatifu ya Kiroma hadi 1806 na baadaye na maeneo makubwa ya Ulaya ya kusini-mashariki hadi 1918. Hivyo Vienna ina majengo mazuri inayotunza kumbukumbu ya enzi za kale sio tu mji mkuu wa Austria ndogo ya leo.
Watu wa Vienna hukumbuka wasanii walioishi katika mji wao kama watunga muziki Wolfgang Amadeus Mozart, Ludwig van Beethoven na Brahms.
Viungo vya Nje
- Official Website of the city of Vienna (Kiingereza)
- Vienna. Pleasure and Melancholy A collection of extraordinary photos
Makala hii kuhusu maeneo ya Austria bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Vienna kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
Austria Chini (Niederösterreich) • Austria Juu (Oberösterreich) • Burgenland • Karinthia (Kärnten) • Salzburg • Steiermark • Tirol • Vienna (Wien) • Vorarlberg |