Roseau : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d r2.7.2+) (Roboti: Imeongeza be:Горад Разо
d r2.7.3rc2) (Roboti: Imeongeza ay:Roseau
Mstari 29: Mstari 29:
[[am:ሮዞ]]
[[am:ሮዞ]]
[[ar:روسو، دومينيكا]]
[[ar:روسو، دومينيكا]]
[[ay:Roseau]]
[[az:Rozo]]
[[az:Rozo]]
[[be:Горад Разо]]
[[be:Горад Разо]]

Pitio la 03:35, 10 Novemba 2012


Jiji la Roseau
Nchi Dominica
Roseau
Roseau na bandari pamoja na meli ya utalii

Roseau ni mji mkuu wa nchi ya kisiwani ya Dominica katika Karibi. Ni mji mdogo mwenye wakazi 14,000.

Iko upande wa magharibi wa kisiwa (kwenye 15°18'N - 61°23'W). Mji ulianzishwa na Ufaransa wakati wa karne ya 18 una majengo ya zamani za Wafaransa na pia za kisasa.


Makala hii kuhusu maeneo ya Bahari ya Karibi bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Roseau kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.