Mto Potomac : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
sahihisho templeti
d robot Adding: hu:Potomac
Mstari 33: Mstari 33:
[[fr:Potomac]]
[[fr:Potomac]]
[[he:פוטומק]]
[[he:פוטומק]]
[[hu:Potomac]]
[[it:Potomac]]
[[it:Potomac]]
[[ja:ポトマック川]]
[[ja:ポトマック川]]

Pitio la 13:26, 15 Oktoba 2007

Mto wa Potomac
Beseni ya Potomac
Chanzo mpakani wa wilaya za Tucker na Preston katika jimbo la West Virginia kwenye 39°11′43″N na 79°29′28″W
Mdomo Atlantiki kwenye hori ya Chesapeake
Nchi Marekani, majimbo ya Maryland, Virginia, District of Columbia, West Virginia
Urefu 665 km
Kimo cha chanzo 933 m
Mkondo 78 hadi 3,963 m³/s
Eneo la beseni 38,000 km²
Idadi ya watu wanaokalia beseni milioni 5
Miji mikubwa kando lake Washington, D.C.

Potomac ni mto wa mashariki ya Marekani. Chanzo kiko katika jimbo la West Virginia inaishia katika hori la Chesapeake la Atlantiki. Una mwendo wa 665 km na beseni ya 38,000 km².

Mto unapita Washington D.C. mji mkuu wa Marekani.

WikiMedia Commons
WikiMedia Commons
Wikimedia Commons ina media kuhusu: