Yohane IV : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d r2.7.2+) (Roboti: Imebadilisha: en:Yohannes IV
d r2.7.1) (Roboti: Imeongeza sr:Јоханес IV
Mstari 30: Mstari 30:
[[sh:Johanes IV Etiopski]]
[[sh:Johanes IV Etiopski]]
[[sk:Johannes IV.]]
[[sk:Johannes IV.]]
[[sr:Јоханес IV]]
[[sv:Yohannes IV]]
[[sv:Yohannes IV]]
[[zh-min-nan:Yohannes 4-sè]]
[[zh-min-nan:Yohannes 4-sè]]

Pitio la 11:18, 4 Novemba 2012

Yohane IV

Yohannes IV (* 1831 kwa jina la Dejazmach Kassay; † 10 Machi 1889 Metemma, Sudan) alikuwa Ras wa Tigray na Kaisari wa Ethiopia kati ya 18721889. Alimfuata Tewodros II akifaulu kutawala juu ya majimbo yote ya Ethiopia.

1876 aliweza kuzuia mashambulio ya Misri dhidi ya Ethiopia.
Aliuawa katika mapigano ya Metemna dhidi ya jeshi la Mahdi tar. 10 Machi 1889. Kichwa chake kilikatwa na kuonyeshwa baadaye Omdurman.


Makala hii kuhusu Kaizari fulani wa Uhabeshi bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Yohane IV kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.

Kigezo:Link FA