Adamu : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d r2.5.4) (Roboti: Imebadilisha: diq:Adem
d r2.7.3) (Robot: Modifying vep:Adam to vep:Adam (ezmäine mez')
Mstari 86: Mstari 86:
[[uk:Адам]]
[[uk:Адам]]
[[uz:Odam Ato]]
[[uz:Odam Ato]]
[[vep:Adam]]
[[vep:Adam (ezmäine mez')]]
[[wa:Adan]]
[[wa:Adan]]
[[wo:Aadama]]
[[wo:Aadama]]

Pitio la 10:16, 1 Novemba 2012

Uumbaji wa Adamu ulivyochorwa (1511) na Michelangelo Buonarroti katika Cappella Sistina, huko Vatikano. Ni mmojawapo kati ya michoro maarufu zaidi duniani.
Uuumbaji wa Adamu kadiri ya Andrea Pisano, 1334-1336

Adamu (kwa Kiebrania: אָדָם maana yake mtu, mtu wa udongo, chaudongo, au wa udongo mwekundu) ni jina analopewa mtu wa kwanza katika Biblia. Anatajwa na Kurani pia.

Kadiri ya kitabu cha Mwanzo, alizaliana na mke wake Eva watu wote waliopo duniani, ambao kwa sababu hiyo wanaitwa binadamu; kwa namna ya pekee waliweza kuzaa wenyewe Kaini, Abeli na Set.

Kanisa Katoliki linamheshimu kama mtakatifu kila tarehe 24 Desemba.

Katika Biblia

Heinrich Aldegrever, Adamu na simba, wakiishi kwa amani kabla ya Dhambi ya Asili
Eva akiumbwa kwa ubavu wa Adamu alivyochongwa na (Lorenzo Maitani na shule yake, upande wa mbele wa Kanisa kuu la Orvieto).

Uumbaji wa watu wa kwanza unasimuliwa na kitabu cha Mwanzo mara mbili: katika 1,26-28 na katika 2,7-22.

Masimulizi hayo yanayotofautiana katika vipengele mbalimbali hayadai yachukuliwe kama habari za historia zinazoandikwa siku hizi. Yanatokana na tafakuri ya kina juu ya hali ya binadamu kwa lengo la kuelewa asili yake.

Katika Kurani

Humo Adamu anatajwa kwa namna inayofanana na ile ya Biblia. Anahesabiwa kuwa mtume wa kwanza. Kigezo:Link FA