Saint Kitts na Nevis : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d r2.7.3) (Roboti: Imebadilisha: ur:سینٹ کیٹز و ناویس
d r2.7.3) (Roboti: Imeongeza ce:Сент-Китс а Невис
Mstari 86: Mstari 86:
[[bs:Sveti Kristofor i Nevis]]
[[bs:Sveti Kristofor i Nevis]]
[[ca:Saint Christopher i Nevis]]
[[ca:Saint Christopher i Nevis]]
[[ce:Сент-Китс а Невис]]
[[ceb:Saint Kitts ug Nevis]]
[[ceb:Saint Kitts ug Nevis]]
[[ckb:سەینت کیتس و نیڤیس]]
[[ckb:سەینت کیتس و نیڤیس]]

Pitio la 08:47, 29 Oktoba 2012

Saint Kitts na Nevis


Ramani ya St. Kitts na Nevis


Saint Kitts na Nevis ni nchi ya visiwani kwenye visiwa viwili katika Bahari ya Karibi na nchi ndogo kabisa ya Amerika yote.

Mji mkuu wa Basseterre uko kwenye kisiwa cha Saint Kitts. Kisiwa kidogo cha Nevis (jina la zamani ya Kihispania: Nuestra Señora de las Nieves) kipo km 3 kusini-mashariki ya Kitts. Zamani pia kisiwa cha anguilla kiliunganishwa na visiwa hivi.


Makala hii kuhusu maeneo ya Bahari ya Karibi bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Saint Kitts na Nevis kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.