Demokrasia : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
TjBot (majadiliano | michango) d r2.7.2) (Roboti: Imeongeza ilo:Demokrásia |
d r2.7.1) (Roboti: Imeongeza uz:Demokratiya |
||
Mstari 133: | Mstari 133: | ||
[[uk:Демократія]] |
[[uk:Демократія]] |
||
[[ur:جمہوریت]] |
[[ur:جمہوریت]] |
||
[[uz:Demokratiya]] |
|||
[[vec:Democrasia]] |
[[vec:Democrasia]] |
||
[[vi:Dân chủ]] |
[[vi:Dân chủ]] |
Pitio la 00:03, 29 Oktoba 2012
Demokrasia (ni neno kutoka lugha ya Kigiriki, demokratia maana yake utawala wa watu) ni aina ya serikali. Kwenye demokrasia, watu fulani wa kwenye jumuia wanamchagua kiongozi wao. Kuna njia nyingi za kufanya hivi, lakini mchakato kamili kikawaida huitwa kushikilia uchaguzi.
Vyama vya kisiasa] uhusika na masuala ya kisiasa. Yaonekana kwamba yaweza kuwa rahisi kuwa na chama cha kisiasa. Chama kitakachoshinda uchaguzi watamchagua kiongozi wanayemtaka.