Johannes Fibiger : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d r2.7.1) (Roboti: Imeongeza fi:Johannes Andreas Grib Fibiger |
d r2.7.3) (Roboti: Imebadilisha: yo:Johannes Fibiger |
||
Mstari 42: | Mstari 42: | ||
[[uk:Йоганес Фібіґер]] |
[[uk:Йоганес Фібіґер]] |
||
[[vi:Johannes Fibiger]] |
[[vi:Johannes Fibiger]] |
||
[[yo:Johannes |
[[yo:Johannes Fibiger]] |
||
[[zh:約翰尼斯·菲比格]] |
[[zh:約翰尼斯·菲比格]] |
Pitio la 08:35, 21 Oktoba 2012
Johannes Fibiger (23 Aprili, 1867 – 30 Januari, 1928) alikuwa daktari na mwanapatholojia kutoka nchi ya Denmark. Hasa alichunguza ugonjwa wa kansa. Mwaka wa 1926 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba.
Makala hii kuhusu mwanasayansi fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Johannes Fibiger kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |