Bunilizi ya kinjozi : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d r2.7.2) (Roboti: Imeongeza bn:রূপকথা, hy:Ֆենտեզի Imebadilisha fi:Fantasia
d r2.7.3) (Roboti: Imebadilisha: nn:Fantasy-litteratur
Mstari 40: Mstari 40:
[[ms:Fantasi]]
[[ms:Fantasi]]
[[nl:Fantasy (genre)]]
[[nl:Fantasy (genre)]]
[[nn:Fantasy]]
[[nn:Fantasy-litteratur]]
[[pl:Fantasy]]
[[pl:Fantasy]]
[[pt:Fantasia (gênero)]]
[[pt:Fantasia (gênero)]]

Pitio la 21:37, 30 Septemba 2012

Bunilizi ya kinjozi (au bunilizi ya kifantasia) ni utanzu fulani wa fasihi andishi. Katika bunilizi hiyo mwandishi anatumia matukio au wahusika wasio wa kawaida. Mifano ya bunilizi ya kinjozi katika fasihi ya Kiingereza ni "A Midsummer Night's Dream" (Ndoto ya Usiku Mmoja) ya William Shakespeare, "Gulliver's Travels" (Safari za Guliveri) ya Jonathan Swift, au "The Lord of the Rings" (Bwana wa Mapete) ya J.R.R. Tolkien.

Bunilizi ya kinjozi hutofautishwa na bunilizi ya kisayansi kwa vile haisifu mambo ya teknolojia bali inatumia maajabu na viumbe vya visasili.

Marejeo

Wamitila, K.W. 2003. Kamusi ya Fasihi: Istilahi na Nadharia, Nairobi: Focus Books.