Stralsund : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d r2.6.4) (roboti Badiliko: sr:Штралзунд
d r2.7.2) (roboti Nyongeza: lv:Štrālzunde
Mstari 45: Mstari 45:
[[ko:슈트랄준트]]
[[ko:슈트랄준트]]
[[la:Stralsunda]]
[[la:Stralsunda]]
[[lv:Štrālzunde]]
[[mk:Штралсунд]]
[[mk:Штралсунд]]
[[nds:Stralsund]]
[[nds:Stralsund]]

Pitio la 08:33, 19 Septemba 2012

Bandari ya Kale ya Stralsund

Stralsund ni mji wa Ujerumani ya kaskazini katika jimbo la Mecklenburg-Pomerini. Iko kando ya bahari ya Baltiki kuna bandari. Idadi ya wakazi ni mnamo 50,000.

Kihistoria Stralsund ilikuwa kati ya miji muhimu ya biashara katika shirikisho la Hanse. Kitovu cha kihistoria cha mji kimetunzwa vizuri ikapokelewa katika orodha la UNESCO la urithi wa dunia.

Baada ya vita ya miaka 30 ilikuwa sehemu ya ufalme wa Uswidi kwa miaka 200.

Tazama pia

Viungo vya Nje

Makala hii kuhusu maeneo ya Ujerumani bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Stralsund kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.