Yuda Tadei : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d r2.7.1) (Roboti: Imeongeza bar:Judas Thaddäus
d r2.7.2) (Roboti: Imeongeza gl:Xudas Tadeo
Mstari 41: Mstari 41:
[[fr:Jude (apôtre)]]
[[fr:Jude (apôtre)]]
[[ga:Naomh Iúdás Tadáias]]
[[ga:Naomh Iúdás Tadáias]]
[[gl:Xudas Tadeo]]
[[hr:Sveti Juda Tadej]]
[[hr:Sveti Juda Tadej]]
[[hu:Júdás apostol]]
[[hu:Júdás apostol]]

Pitio la 18:16, 18 Septemba 2012

Mtume Yuda alivyochorwa na Anthonis van Dyck.
Sanamu yake katika Kanisa kuu la Roma

Yuda Tadei ni jina la mmojawapo kati ya Mitume wa Yesu, ambalo Injili zinajitahidi kumtofautisha na Yuda Iskarioti, msaliti wa Yesu.

Habari zake za hakika zinategemea Agano Jipya ambamo anatajwa katika orodha ya Thenashara ambao waliteuliwa na Yesu Kristo kama msingi wa taifa jipya la Mungu wakatumwa naye kuhubiri na kuponya.

Injili ya Yohane tu inaripoti neno lake moja, katika simulizi la karamu ya mwisho, alipomuuliza Yesu imekuwaje atajifunua kwao lakini si kwa ulimwengu (14:22). Yesu alimjibu kwamba yeyote anayempenda atashika neno lake, na Baba atampenda na kufanya maskani yake kwake pamoja na Mwana.

Mitume wa Yesu

Anafikiriwa na wengi kuwa mwandishi wa Waraka wa Yuda, lakini hakuna hakika kwa sababu jina hilo la babu wa Wayahudi wote lilikuwa la kawaida mno.

Marejeo

  • Thenashara, Mitume Kumi na Wawili – tafsiri ya P. A. Bunju – Toleo la pili – ed. Benedictine Publications Ndanda Peramiho – Ndanda 1984 – ISBN 9976-63-030-1

Viungo vya nje

Wikimedia Commons ina media kuhusu: