Yuda Tadei : Tofauti kati ya masahihisho
d r2.7.1) (Roboti: Imeongeza bar:Judas Thaddäus |
d r2.7.2) (Roboti: Imeongeza gl:Xudas Tadeo |
||
Mstari 41: | Mstari 41: | ||
[[fr:Jude (apôtre)]] |
[[fr:Jude (apôtre)]] |
||
[[ga:Naomh Iúdás Tadáias]] |
[[ga:Naomh Iúdás Tadáias]] |
||
[[gl:Xudas Tadeo]] |
|||
[[hr:Sveti Juda Tadej]] |
[[hr:Sveti Juda Tadej]] |
||
[[hu:Júdás apostol]] |
[[hu:Júdás apostol]] |
Pitio la 18:16, 18 Septemba 2012
Yuda Tadei ni jina la mmojawapo kati ya Mitume wa Yesu, ambalo Injili zinajitahidi kumtofautisha na Yuda Iskarioti, msaliti wa Yesu.
Habari zake za hakika zinategemea Agano Jipya ambamo anatajwa katika orodha ya Thenashara ambao waliteuliwa na Yesu Kristo kama msingi wa taifa jipya la Mungu wakatumwa naye kuhubiri na kuponya.
Injili ya Yohane tu inaripoti neno lake moja, katika simulizi la karamu ya mwisho, alipomuuliza Yesu imekuwaje atajifunua kwao lakini si kwa ulimwengu (14:22). Yesu alimjibu kwamba yeyote anayempenda atashika neno lake, na Baba atampenda na kufanya maskani yake kwake pamoja na Mwana.
Mitume wa Yesu |
---|
|
Anafikiriwa na wengi kuwa mwandishi wa Waraka wa Yuda, lakini hakuna hakika kwa sababu jina hilo la babu wa Wayahudi wote lilikuwa la kawaida mno.
Marejeo
- Thenashara, Mitume Kumi na Wawili – tafsiri ya P. A. Bunju – Toleo la pili – ed. Benedictine Publications Ndanda Peramiho – Ndanda 1984 – ISBN 9976-63-030-1
Viungo vya nje
- Catherine Fournier, Saint Simon and Saint Jude