Tajikistan : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d r2.7.2+) (Roboti: Imebadilisha: pt:Tajiquistão
d Roboti: Imeongeza bxr:Тажикистан
Mstari 103: Mstari 103:
[[bs:Tadžikistan]]
[[bs:Tadžikistan]]
[[bug:Tajikistan]]
[[bug:Tajikistan]]
[[bxr:Тажикистан]]
[[ca:Tadjikistan]]
[[ca:Tadjikistan]]
[[ce:Таджики]]
[[ce:Таджики]]

Pitio la 16:58, 16 Septemba 2012

Tajikistan

Tajikistan ni nchi ndogo ya Asia ya Kati.

Ramani ya Tajikistan

Imepakana na Uchina, Afghanistan,Uzbekistan na Kyrgyzstan. Tajikistan haina pwani na bahari yoyote.

Eneo lake ni 143,100 km². Idadi ya wakazi ni milioni 6,5.

Sehemu kubwa ya nchi ni milima ya Pamir yenye kimo kati ya 3600 hadi 4400 m.

Historia

Kihistoria maeneo ya Tajikistan yalitawaliwa na madola mbalimbali, hasa na Uajemi.

Uislamu ulifika hapa mnamo mwaka 800 BK.

Mwaka 1868 Tajikistan ilivamiwa na Urusi na kuwa sehemu ya Dola la Urusi na sehemu ya Umoja wa Kisovyet baada ya mapinduzi ya 1917. Iliitwa Jamhuri ya Kisovyet ya Kisoshialist ya Tajikistan.

Dushanbe kituo cha reli

.

Baada ya kuporomoka kwa Umoja wa Kisoviet Tajikistan ilipata uhuru wake mwaka 1991.

Kati ya 1992 hadi 1997 kulikuwa na vita ya wenyewe kwa wenyewe iliyokwisha kwa kuunda serikali ya umoja wa kitaifa.

Baada ya mashambulio ya kigaidi ya 11 Septemba 2001 jeshi la Marekani lilipata nafasi ya kutumia vituo vya kijeshi kwa ajili ya vita katika Afghanistan.

Makala hii kuhusu maeneo ya Asia bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Tajikistan kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Nchi na maeneo ya Asia

Afghanistan | Armenia2 | Azerbaijan | Bahrain | Bangladesh | Bhutan | Brunei | China | Falme za Kiarabu | Georgia2 | Hong Kong3 | Indonesia | Iraq | Israel | Jamhuri ya China (Taiwan) | Japani | Kamboja | Kazakhstan | Kirgizia | Korea Kaskazini | Korea Kusini | Kupro2 | Kuwait | Laos | Lebanoni | Macau3 | Malaysia | Maldivi | Mongolia | Myanmar | Nepal | Omani | Pakistan | Palestina | Qatar | Saudia | Singapuri | Sri Lanka | Syria | Tajikistan | Timor ya Mashariki | Turkmenistan | Uajemi | Ufilipino | Uhindi | Urusi1 | Uthai | Uturuki1 | Uzbekistan | Vietnam | Yemen | Yordani

1. Nchi ina maeneo katika Asia na Ulaya. 2. Nchi iko Asia lakini inahesabiwa pia kati ya nchi za Ulaya kwa sababu za historia au utamaduni. 3. Eneo la pekee la China.