Michigan : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d Roboti: Imeongeza se:Michigan
d r2.7.2+) (Roboti: Imebadilisha: uk:Мічиган
Mstari 162: Mstari 162:
[[tt:Мичиган (штат)]]
[[tt:Мичиган (штат)]]
[[ug:Michigan Shitati]]
[[ug:Michigan Shitati]]
[[uk:Мічиган (штат)]]
[[uk:Мічиган]]
[[ur:مشی گن]]
[[ur:مشی گن]]
[[uz:Michigan]]
[[uz:Michigan]]

Pitio la 20:39, 13 Septemba 2012








Michigan

Bendera

Nembo
Nchi Bendera ya Marekani Marekani
Mji mkuu Lansing
Eneo
 - Jumla 250,494 km²
 - Kavu 147,121 km² 
 - Maji 103,372 km² 
Tovuti:  http://www.michigan.gov/

Michigan ni jimbo la kujitawala la Maungano ya Madola ya Amerika au Marekani. Umbo lake linafanana na rasi mawili linalozungukwa na Ziwa Superior, Ziwa Michigan, Ziwa Huron na Ziwa Erie. Imepakana na Kanada, Ohio, Indiana na Wisconsin.

Mji mkuu ni Lansing na mji mkubwa ni Detroit.

Jimbo lina wakazi wapatao 10,003,422 (2008) wanaokalia katika eneo la kilomita za mraba zipatazo 253,793.

Viungo vya Nje

Wikimedia Commons ina media kuhusu:


Majimbo ya Marekani

AlabamaAlaskaArizonaArkansasCaliforniaColoradoConnecticutDelawareFloridaGeorgiaHawaiiIdahoIllinoisIndianaIowaKansasKentuckyLouisianaMaineMarylandMassachusettsMichiganMinnesotaMississippiMissouriMontanaNebraskaNevadaNew HampshireNew JerseyNew MexicoNew YorkNorth CarolinaNorth DakotaOhioOklahomaOregonPennsylvaniaRhode IslandSouth CarolinaSouth DakotaTennesseeTexasUtahVermontVirginiaWashingtonWest VirginiaWisconsinWyoming

Makala hii kuhusu maeneo ya Marekani bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Michigan kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.