Kilomita ya mraba : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d Roboti: Imeondoa: de:Quadratmeter#Quadratkilometer (strongly connected to sw:Mita ya mraba) |
JYBot (majadiliano | michango) d r2.7.1) (Roboti: Imeongeza de:Quadratmeter#Quadratkilometer |
||
Mstari 34: | Mstari 34: | ||
[[cy:Cilometr sgwâr]] |
[[cy:Cilometr sgwâr]] |
||
[[da:Kvadratkilometer]] |
[[da:Kvadratkilometer]] |
||
[[de:Quadratmeter#Quadratkilometer]] |
|||
[[dsb:Kwadratny kilometer]] |
[[dsb:Kwadratny kilometer]] |
||
[[dv:އަކަކިލޯމީޓަރު]] |
[[dv:އަކަކިލޯމީޓަރު]] |
Pitio la 10:10, 6 Septemba 2012
Kilomita ya mraba (km²) ni kipimo cha eneo; eneo lenye upana na urefu wa kilomita moja
Msingi wake ni mita ya mraba (m²). Kilomita ya mraba hutumika kwa upimaji wa maeneo makubwa duniani kama mji, mkoa, nchi au dunia yote.
Kilometa 1 ya mraba (km²) ni sawa na:
- eneo la mraba yenye urefu wa kilomita moja kila upande
- Mita ya mraba 1,000,000
- Hektari 100
- Ekari 247.105 381
- Maili ya mraba 0.386 102
Au:
- Mita ya mraba 1 = kilometa ya mraba (km²) 0.000 001
- Hektari 1= kilometa ya mraba (km²) 0.01
- Maili ya mraba 1 = kilometa ya mraba 2.589 988
- Ekari 1 = kilometa ya mraba 0.004 047