Korea Kusini : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d r2.7.1) (Roboti: Imeongeza ki:South Korea
d r2.7.3) (Roboti: Imebadilisha: ace:Korèa Seulatan
Mstari 108: Mstari 108:
{{Link FA|vi}}
{{Link FA|vi}}


[[ace:Korèa Tunong]]
[[ace:Korèa Seulatan]]
[[af:Suid-Korea]]
[[af:Suid-Korea]]
[[als:Südkorea]]
[[als:Südkorea]]

Pitio la 20:38, 4 Septemba 2012

Korea Kusini
Ramani ya Korea ya Kusini

Korea ya Kusini (rasmi: Jamhuri ya Korea) ni nchi ya Asia ya Mashariki iliyopo katika kusini ya rasi ya Korea. Upande wa kaskazini imepakana na Korea ya Kaskazini. Korea zote mbili zilikuwa nchi moja hadi 1945 chini ya utawala wa kikoloni wa Japani. Ng'ambo ya bahari iko Uchina upande wa magharibi na Japani upande wa kusini-mashariki.

Mji mkuu pia mji mkubwa ni Seoul ambako karibu nusu ya wakazi wote huishi ama mjini au katika mazingira yake. Seoul ni kati ya miji muhimu ya biashara na uchumi wa kimataifa.

Korea ni kati ya tamaduni za kale duniani. Tangu maungano ya kitaifa ya Korea yote manmo mwaka 668 KK ilikuwa nchi moja hadi 1910 ilifanywa koloni ya Japani. Uhuru baada ya 1945 ilifuatwa na mgawanyiko wa nchi na kuundwa kwa Korea Kusini. Awali ilikuwa nchi maskini yene uchumi w kilimo lakini iliendelea kuwa nchi ya viwanda iliyofaulu kusogea mbele na kujenga demokrasia imara.

Siku hizi imekuwa moja ya nchi tajiri ya Asia inanafasi ya 13 duniani kati ya mataifa matajiri. Iko kati ya nchi kumi duniani zinazouza bidhaa nyingi nje. Hali ya maisha ni ya juu na viwanda vyake vinatengeneza bidhaa za kisasa kabisa kama motokaa, meli, mashine, vifaa vya kompyuta na mengine.

Dini

Kiasili watu wa Korea walifuata dini ya jadi iliyoheshimu mapepo mbalimbali na kutoa sadaka kama njia za kuyapatanisha.

Tangu karne ya 4 Ubuddha uliingia kutoka China ukawa dini rasmi. Ukonfusio ulifuata tangu karne ya 13. Ukristo ulingia pia kutoka China ukaanza kukua tangu karne ya 19.

Siku hizi takriban nusu ya Wakorea wa kusini wasema hawana dini. Sehemu kubwa wanakadiriwa kuwa wafuasi wa Konfusio lakini hawajiiti "dini".

Ukristo ni kundi kubwa la kidini ni 29% za Wakorea wa Kusini. Wabuddha ni kama 23 %kunapia wafuasi wachache wa dini mmbalimbali.

Miji

Viungo vya Nje

Nchi na maeneo ya Asia

Afghanistan | Armenia2 | Azerbaijan | Bahrain | Bangladesh | Bhutan | Brunei | China | Falme za Kiarabu | Georgia2 | Hong Kong3 | Indonesia | Iraq | Israel | Jamhuri ya China (Taiwan) | Japani | Kamboja | Kazakhstan | Kirgizia | Korea Kaskazini | Korea Kusini | Kupro2 | Kuwait | Laos | Lebanoni | Macau3 | Malaysia | Maldivi | Mongolia | Myanmar | Nepal | Omani | Pakistan | Palestina | Qatar | Saudia | Singapuri | Sri Lanka | Syria | Tajikistan | Timor ya Mashariki | Turkmenistan | Uajemi | Ufilipino | Uhindi | Urusi1 | Uthai | Uturuki1 | Uzbekistan | Vietnam | Yemen | Yordani

1. Nchi ina maeneo katika Asia na Ulaya. 2. Nchi iko Asia lakini inahesabiwa pia kati ya nchi za Ulaya kwa sababu za historia au utamaduni. 3. Eneo la pekee la China.


WikiMedia Commons
WikiMedia Commons
Wikimedia Commons ina media kuhusu:

Kigezo:Link FA Kigezo:Link FA Kigezo:Link FA Kigezo:Link FA