Lugha za Kisemiti : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d r2.7.2+) (Roboti: Imebadilisha: yo:Sẹ̀mítíìkì
d r2.7.2+) (Roboti: Imeongeza az:Sami dilləri
Mstari 25: Mstari 25:
[[arc:ܠܫܢܐ ܫܝܡܝܐ]]
[[arc:ܠܫܢܐ ܫܝܡܝܐ]]
[[arz:لغات ساميه]]
[[arz:لغات ساميه]]
[[az:Sami dilləri]]
[[bg:Семитски езици]]
[[bg:Семитски езици]]
[[br:Yezhoù semitek]]
[[br:Yezhoù semitek]]

Pitio la 06:13, 1 Septemba 2012

Maneneo penye wasemaji wengi wa lugha za Kisemiti

Lugha za Kisemiti ni kundi la lugha zinazozungumzwa na watu milioni 300 hivi katika Asia ya Magharibi, Afrika ya Kaskazini na Afrika ya Mashariki. Zinahesabiwa kama tawi la lugha za Kiafrika-Kiasia.

Lugha za Kisemiti leo

Lugha yenye wasemaji wengi ni Kiarabu. Wasemaji wengine wengi ni wale wanaotumia lugha za Ethiopia na Eritrea halafu Israel. Lugha hai za kisemiti ni pamoja na:

Lugha za kihistoria

Kuna idadi kubwa ya lugha za Kisemiti zinazojulikana kama lugha za kihistoria zisizo na wasemaji tena. Kati ya lugha hizi ni lugha za Babeli, Ashur, Kanaan, Moabu, Finisia na kwa jumla lugha za mataifa mengi zinazotajwa katika Biblia.