Bunilizi ya kinjozi : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d Roboti: Imeongeza sl:Fantazijska pripoved
d r2.7.2) (Roboti: Imeongeza bn:রূপকথা, hy:Ֆենտեզի Imebadilisha fi:Fantasia
Mstari 12: Mstari 12:
[[be-x-old:Фэнтэзі]]
[[be-x-old:Фэнтэзі]]
[[bg:Фентъзи]]
[[bg:Фентъзи]]
[[bn:রূপকথা]]
[[bs:Fantastika]]
[[bs:Fantastika]]
[[ca:Fantasia]]
[[ca:Fantasia]]
Mstari 23: Mstari 24:
[[eu:Fantastiko (generoa)]]
[[eu:Fantastiko (generoa)]]
[[fa:خیال‌پردازی (گونه هنری)]]
[[fa:خیال‌پردازی (گونه هنری)]]
[[fi:Fantasiakirjallisuus]]
[[fi:Fantasia]]
[[fr:Fantasy]]
[[fr:Fantasy]]
[[gl:Fantasía]]
[[gl:Fantasía]]
Mstari 30: Mstari 31:
[[hr:Fantastika]]
[[hr:Fantastika]]
[[hu:Fantasy]]
[[hu:Fantasy]]
[[hy:Ֆենտեզի]]
[[id:Fantasi]]
[[id:Fantasi]]
[[it:Fantasy]]
[[it:Fantasy]]

Pitio la 07:33, 21 Agosti 2012

Bunilizi ya kinjozi (au bunilizi ya kifantasia) ni utanzu fulani wa fasihi andishi. Katika bunilizi hiyo mwandishi anatumia matukio au wahusika wasio wa kawaida. Mifano ya bunilizi ya kinjozi katika fasihi ya Kiingereza ni "A Midsummer Night's Dream" (Ndoto ya Usiku Mmoja) ya William Shakespeare, "Gulliver's Travels" (Safari za Guliveri) ya Jonathan Swift, au "The Lord of the Rings" (Bwana wa Mapete) ya J.R.R. Tolkien.

Bunilizi ya kinjozi hutofautishwa na bunilizi ya kisayansi kwa vile haisifu mambo ya teknolojia bali inatumia maajabu na viumbe vya visasili.

Marejeo

Wamitila, K.W. 2003. Kamusi ya Fasihi: Istilahi na Nadharia, Nairobi: Focus Books.