Mutsuhito : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d r2.7.2) (roboti Nyongeza: war:Emperador Meiji
d r2.7.3) (Roboti: Imeongeza el:Αυτοκράτορας Μεϊτζί
Mstari 17: Mstari 17:
[[da:Meiji-kejseren]]
[[da:Meiji-kejseren]]
[[de:Meiji]]
[[de:Meiji]]
[[el:Αυτοκράτορας Μεϊτζί]]
[[en:Emperor Meiji]]
[[en:Emperor Meiji]]
[[es:Emperador Meiji]]
[[es:Emperador Meiji]]

Pitio la 19:48, 20 Agosti 2012

Faili:Meiji Full Beard 1909.jpg
Mutsuhito

Mutsuhito (3 Novemba, 185230 Juni, 1912) alikuwa mfalme mkuu wa 122 (Tenno) wa Japani. Pia anajulikana kama Meiji. Mwaka wa 1867 alimfuata baba yake, Komei, na kuwa mfalme hadi kifo chake. Aliyemfuata ni mwana wake Yoshihito.

Makala hii kuhusu Kaizari fulani wa Japani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mutsuhito kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.