Jumba la Makumbusho : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d r2.7.2) (Roboti: Imeongeza hak:Pok-vu̍t-kón
d r2.7.1) (Roboti: Imeongeza lad:Muzeyo
Mstari 67: Mstari 67:
[[ko:박물관]]
[[ko:박물관]]
[[la:Museum]]
[[la:Museum]]
[[lad:Muzeyo]]
[[lb:Musée]]
[[lb:Musée]]
[[lt:Muziejus]]
[[lt:Muziejus]]

Pitio la 22:41, 18 Agosti 2012

Makumbusho ni jengo au taasisi penye maonyesho ya vitu vya kale, kazi za sanaa, sampuli za malighafi au vifaa kwa ajili ya kutunza kumbukumbu ya jamii.

Mkusanyiko wa aina hii hulenga kuonyesha mifano ya sanaa, utamaduni, teknolojia au mazingira asilia kwa manufaa ya kuwaelimisha watazamaji.

Kuna makumbusho ya aina mbalimbali yanayokazia fani fulani za elimu kama vile makumbusho ya historia, ya sanaa, ya teknolojia ya sayansi na kadhalika.

Kati ya makumbusho mashuhuri duniani ni


Makala hii kuhusu mambo ya kihistoria bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Jumba la Makumbusho kama enzi zake au matokeo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.