Buganivilia : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d r2.5.1) (roboti Badiliko: fr:Bougainvillea
d r2.7.2+) (Roboti: Imeongeza bn:বাগানবিলাস
Mstari 64: Mstari 64:
[[be:Bougainvillea]]
[[be:Bougainvillea]]
[[bg:Бугенвилея]]
[[bg:Бугенвилея]]
[[bn:বাগানবিলাস]]
[[ca:Buguenvíl·lea]]
[[ca:Buguenvíl·lea]]
[[de:Bougainvillea]]
[[de:Bougainvillea]]

Pitio la 15:52, 18 Agosti 2012

Buganivilia
Bougainvillea spectabilis
Bougainvillea spectabilis
Uainishaji wa kisayansi
Himaya: Plantae (mimea)
Faila: Magnoliophyta
Nusufaila: Magnoliopsida
Oda: Caryophyllales
Familia: Nyctaginaceae
Jenasi: Bougainvillea



Buganivilia ni jenasi la mimea waotao maua yenye asili yao katika Bara la Marekani Kusini kuanzia Brazili na kusonga magharibi kuelekea Peru na kusini hadi Argentina kusini (Mkoa wa Chubut).



Waandishi tofauti wanakubali kuwa kuna kati ya spishi 4 na 18 za jenasi hii. Mmmea huu uligunduliwa nchini Brazili mnamo mwaka wa 1768, na Philibert Commerçon, Msomi wa mimea kutoka nchi ya Ufaransa alipokuwa akimwandama mkuu wa Jeshi la Wanamaji la Kifaransa na mpelelezi Louis Antoine de Bougainville wakati wa safari yake ya kuizunguka Dunia.






Gallery

External links