Msichana : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d r2.7.1) (Roboti: Imeongeza eu:Neska |
JYBot (majadiliano | michango) d r2.7.1) (Roboti: Imeongeza te:అమ్మాయి |
||
Mstari 66: | Mstari 66: | ||
[[sv:Flicka]] |
[[sv:Flicka]] |
||
[[ta:இளம் பெண்]] |
[[ta:இளம் பெண்]] |
||
[[te:అమ్మాయి]] |
|||
[[tg:Духтар]] |
[[tg:Духтар]] |
||
[[tr:Kız]] |
[[tr:Kız]] |
Pitio la 13:04, 8 Agosti 2012
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Msichana ni mtoto wa kike. Ni binadamu mwanamke ambaye haja komaa, japokuwa vijana wa kike pia huweza kuitwa wasichana. Wakati mwingine watu wakubwa bado hutaja wanawake waliokuwa kama wasichana, hasa katika hali ya kutoka nao usiku katika starehe fulani.
Wasichana wadogo bado wana miili ya kitoto. Haikomai hadi atakapofikia umri wa balehe (huenda wakifika umri wa miaka 11 hadi 13) ambapo miili yao inaanza kukomaa na mwanamke kamili. Wakati wa kubalehe, msichana anaanza kuwa na maziwa, maumbo yao sehemu za kiunoni na mabegani zinakuwa kubwa na wanaanza kuwa na hedhi.
Tazama pia
Marejeo mengine
Makala bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |