Waraka wa tatu wa Yohane : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d r2.7.2+) (Roboti: Imeongeza zea:Den dorden brieve van Jewannes |
d r2.7.3) (Roboti: Imebadilisha: yo:Episteli Jòhánù Kẹta |
||
Mstari 68: | Mstari 68: | ||
[[uk:3-є послання Івана]] |
[[uk:3-є послання Івана]] |
||
[[vep:3. Joannan kirjaine]] |
[[vep:3. Joannan kirjaine]] |
||
[[yo:Episteli |
[[yo:Episteli Jòhánù Kẹta]] |
||
[[zea:Den dorden brieve van Jewannes]] |
[[zea:Den dorden brieve van Jewannes]] |
||
[[zh:約翰三書]] |
[[zh:約翰三書]] |
Pitio la 13:56, 3 Agosti 2012
Barua ya tatu ya Yohane ni kimojawapo kati ya vitabu 27 vya Agano Jipya katika Biblia ya Kikristo.
Kama vitabu vingine vyote vya Biblia, hiki pia kinatakiwa kisomwe katika mfululizo wa historia ya wokovu ili kukielewa kadiri ya maendeleo ya ufunuo wa Mungu kwa binadamu.
Mwandishi
Kuhusu mwandishi wa barua hiyo lilichelewa kutajwa jina la Mtume Yohane kutokana na yaliyomo na mtindo wa uandishi wake.
Kama mwandishi si yeye, ni mmoja wa wanafunzi wake aliyeandikwa mwishoni mwa karne ya 1 huko Efeso.
Mlengwa
Mlengwa ni Gaio, anayedhaniwa kuwa kiongozi mmojawapo wa jumuia fulani kati ya zile zilizomtegemea Yohane.
Kiungo cha nje
- [1] Agano Jipya kwa lugha ya Kiswahili