Kislavoni cha Mashariki : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d Roboti: Imeongeza ku:Slaviya rojhilatî
d r2.7.3) (Roboti: Imeongeza io:Estala Slava
Mstari 34: Mstari 34:
[[hu:Keleti szláv nyelvek]]
[[hu:Keleti szláv nyelvek]]
[[id:Bahasa Slavia Timur]]
[[id:Bahasa Slavia Timur]]
[[io:Estala Slava]]
[[it:Lingue slave orientali]]
[[it:Lingue slave orientali]]
[[ja:東スラヴ語群]]
[[ja:東スラヴ語群]]

Pitio la 09:55, 2 Agosti 2012

Nchi ambako lugha ya Kislavoni cha Magharibi ni lugha rasmi;
Nchi ambako lugha ya Kislavoni cha Mashariki ni lugha rasmi;
Nchi ambako lugha ya Kislavoni cha Kusini ni lugha rasmi

Kislavoni cha Mashariki ni kundi la lugha za Kislavoni zinazozungumzwa katika Ulaya ya Mashariki. Ni lugha tatu za Kirusi, Kiukraine na Kibelarus. Idadi ya wasemaji wa lugha hizi ni kubwa kushinda idadi ya wasemaji wa lugha za Kislavoni cha Kusini au cha Magharibi.

Lugha zote tatu zilitokana katika lugha ya pamoja inayoaminiwa ilitumiwa katika Ulaya ya Mashariki mnamo mwaka 1000 / 1200 BK. Ziliachana baadaye na kukuza tabia za pekee.

Lugha zote tatu hutumia mwandiko wa Kikyrili.

Makala hii kuhusu maeneo ya Ulaya bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Kislavoni cha Mashariki kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.