Mtaguso wa tatu wa Laterano : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d r2.7.1) (roboti Nyongeza: no:Tredje Laterankonsil
d r2.7.2+) (Roboti: Imeongeza hr:Treći lateranski sabor
Mstari 21: Mstari 21:
[[fi:3. Lateraanikonsiili]]
[[fi:3. Lateraanikonsiili]]
[[fr:Troisième concile du Latran]]
[[fr:Troisième concile du Latran]]
[[hr:Treći lateranski sabor]]
[[hu:Harmadik lateráni zsinat]]
[[hu:Harmadik lateráni zsinat]]
[[it:Concilio Lateranense III]]
[[it:Concilio Lateranense III]]

Pitio la 23:13, 28 Julai 2012

Mtaguso wa tatu wa Laterano uliitishwa na Papa Aleksanda III (1159-1181) ufanyike huko Roma mwaka 1179, kutokana na Amani ya Venezia kati ya Kaisari Federiko I wa Ujerumani na Lega Lombarda ya Italia kaskazini.

Unahesabiwa na Kanisa Katoliki kama mtaguso mkuu wa kumi na moja.

Ulihudhuriwa na viongozi wa Kanisa 300 na kufanyika katika vikao vitatu, tarehe 5 Machi, 7 Machi na 19 Machi 1179.

Ulijadili masuala mbalimbali na kuyatungia kanuni 27 na kutangua zile zilizotolewa na antipapa Paskali III. Kati ya maamuzi muhimu zaidi, mmojawapo ulihusu uchaguzi wa Papa, ukidai thuluthi mbili za kura za makardinali wote, bila ya kutofautisha haki za makundi yao matatu.

Viungo vya nje