Pembenyingi : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
kiungo |
||
Mstari 14: | Mstari 14: | ||
Image:Simple polygon.png|Pembesita sahili |
Image:Simple polygon.png|Pembesita sahili |
||
Image:Complex polygon.svg| Pembetano tata |
Image:Complex polygon.svg| Pembetano tata |
||
Image:Polygon face.jpg|Jinsi gani uso wachorwa katika |
Image:Polygon face.jpg|Jinsi gani uso wachorwa katika programu ya [[tarakishi]] kwa kutumia pembenyingi |
||
</gallery> |
</gallery> |
||
Pitio la 15:17, 1 Oktoba 2007
Pembenyingi (pia: poligoni) ni umbo bapa lenye pande tatu au zaidi.
Pembenyingi hutokea kama nukta kwenye tambarare zaunganishwa kwa mistari inayofunga eneo au maeneo ndani yao.
Katika jiometria ya tambarare pembenyingi sahili kabisa ni pembetatu.
Pembenyingi sahili haina mistari inayopandana. Ikipandana huitwa pembenyingi tata.
Mifano ya pembenyingi
-
Pembetatu pandesawa
-
Mstatili ni hali ya pekee ya pembenne
-
Pembesaba sahili
-
Pembesita sahili
-
Pembetano tata
-
Jinsi gani uso wachorwa katika programu ya tarakishi kwa kutumia pembenyingi
Makala bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |